Posts

JINSI YA KUIMARISHA MAHUSIANO YAKO NA MPENZI ALIYE MBALI

Image
  JINSI YA KUIMARISHA MAHUSIANO YAKO NA MPENZI ALIYE MBALI Ni wazi kila mmoja anapenda kufurahia maisha akiwa karibu na mpenzi wake ,hakuna mtu mwenye mapenzi ya dhati kwa mpenzi wake halafu akapenda kuwa naye mbali. Wapendanao hupenda kuwa pamoja wakionana na kujadili mambo mbalimbali huku kila mmoja akitaka kumuonyesha mwenzake ni jinsi gani anavyompenda. Zifuatazo ni baadhi ya njia ambazo iwapo utazitumia kwa umakini basi jua mahusiano yako yatahimili umbali na upendo wako na mpenzi wako utazidi kuwa madhubuti. 1.MAWASILIANO YA MARA KWA MARA Mawasiliano ni moja ya nguzo muhimu sana katika mapenzi zinazofanya mapenzi kuweza kustahimili umbali. Wapenzi wanashauriwa kuwa na kawaida ya kuwasiliana mara kwa mara ili penzi liendelee kuwa na ustawi mzuri,kwan unapokuwa na utaratibu wa kuwasiliana na mpenzi wako mara kwa mara unaufanya ubongo wako usimsahau na kumfanya pia kutambua kuwa unampenda hivyo kujiweka mbali na vishawishi au kumpa nguvu ya kukabiliana navyo. 2.USIWE NA MTAZAMO ...

SMS MPYA KALI ZA MAPENZI

Image
  Siku zote kwangu ni sherehe ni wewe unishereheshaye, ukweli usio na kejeli mapenzi yako yanatii kiu yangu, moyoni mwangu nimeridhia... Nakupenda daima mpenzi! **** Ahsante Mungu shukrani kwako mama, pongezi kwako mpenzi kuwa wangu mtetezi kwenye jahazi la mapenzi, ufundi na ujuzi unao hasa tuwapo wawili chumbani. Penzi lako halichakai daima huzaliwa jipya. ****** Mapenzi ni upepo, mimi sivumi na kupotea, mapenzi ni mahaba sili nikamaliza, nikimaliza nitakula nini kesho? Nakuahidi kukupenda leo hata kesho ukiwepo na hata usipokuwepo. ***** Imara hautikisiki, kakamavu halishikiki penzi langu kwako ni nuru daima halizimiki. ***** Mapenzi si usanii ukiigiza utashindwa, mapenzi yanatoka moyoni wengi walioigiza walishatengana, mpenzi wangu usiniache. ****** Mimi si mtume hakuna mwadamu aliyestahili usiniache nitajirekebisha na nitaongeza bidii.Naahidi kuwa mpenzi mpya na bora kwako na si bora mpenzi. ******* Mpenzi usiende mbali nami, njoo ufaidi utamu usioisha hamu, nitakupa mwili wan...

DALILI ZA MWANAMKE KICHECHE

Image
  1. Siyo rahisi kupenda Dalili ya kwanza ya mwanamke kicheche mi kwamba huwa huwa mara nyingi hawataki mambo ya mahusiano na mambo ya kupendana, wanataka siku zote wawe huru hata mtu yeyote mwenye uwezo zaidi ya aliyenaye akitokea, iwe rahisi kwake kujihusisha naye. Utasikia akisema tuwe Marafiki tuu. 2. Anachukulia mahusiano kama njia ya kujinufaisha Wanawake vicheche huwa hawaingii katika mahusiano kwa sababu wamependa, siku zote wanakuwa na agenda ya siri nyuma yake, unaweza kuita faida, kiujumla kwa kitu chochote atakachokupa katika mahusiano, ujue hapo anatarajia faida yake, utakuta anakuchangamkia na kukufanyia vitu ambavyo hukutarajia, ila lengo lake mwisho wa siku utakuta anaishia kukuomba kitu Fulani kutoka kwako. Yupo tayari kufanya chochote hata kama kinamgarimu ilimradi apate kile anachokitaka. 3. Anategeka kirahisi kwa vitu vidogo na kwa mtu yoyote Kwa kawaida mwanamke kicheche, pale tu utapomfurahisha na kumpa zawadi, au hela kila akuombapo unamsaidia, ni rahisi sana...

Badili Mwenendo wa Maisha yako ya Kingono!

Image
  Badili Mwenendo wa Maisha yako ya Kingono! Katika harakati za kuukaribisha mwaka huu mpya 2013 sio mbaya kama nitakukumbusha mawili-matatu ili kufurahia utukufu wake Bwana (Ngono), sasa leo nitagusia kidogo tu namna ya kubadili mwenendo wa Maisha yako ya Kingono ili kufurahia zaidi uhusiano wako wa kimapenzi na mwenza wako. Najua unatambua kuwa kwenye kila uhusiano wa kimapenzi kuna “maisha ya kimapenzi” na “Maisha ya kingono” Kitu cha kwanza unachopaswa kuzingatia ni kutambua na kukubali kuwa kuna vitu ambavyo huwezi kuvibadilisha na hivyo basi unatakiwa kujifunza kuishi navyo kwa kuvichukulia kama vilivyo, kuvidharau au kutafuta namna ya kuvifurahia. Vitu hivyo ni kama Ukubwa/Udogo wa Uume/Uke, Uwezo mdogo wa kungonoka, rangi na umbile la nyeti yako. Kwenye kubadilisha mwenendo wako wa kingono unategemeana zaidi na wewe mwenyewe au ninyi wenyewe kama wenza kwani routine huwa zinatofautiana na vilevile hubadilika kutokana namazingira, mtindo wa maisha yenu (how busy you are n.k....

WANAWAKE WA AINA HII.. HUKIMBIWA BILA NDOA BAADA YA KUCHEZEWA

Image
  WANAWAKE WA AINA HII.. HUKIMBIWA BILA NDOA BAADA YA KUCHEZEWA 1. msichana ambaye si msikivu kwa mpenzi wake yaani yeye huona kila analoambiwa si sahihi bali analolifikiria yeye ndiyo sahihi. Mwanaume hupenda kusikilizwa na kumuheshimu akiona huna usikivu kwake atakuchezea na kutokuwa na mipango yeyote endelevu katika mahusiano yenu 2. Msichana msafi kila mwanaume hutamani kuwa naye yaani awe mke ndani ya nyumba. Wanaume wengi usafi ndani ya nyumba na mavazi umewashinda hivyo hupenda wanawake wakuwasaidia katika ufanyaji wa usafi wa mazingira yao. 3. Msichana anayependa competition na mwanaume yaani kama vile wakati wa maongezi msichana hupenda kuonekana anachoongea yeye ndiyo sahihi na sio anachoongea mpenzi wake. Usawa katika mahusiani unasaidia mwanaume kukuona kuwa unamuheshimu na wewe unafaa kuwa mke. 4. Msichana asiyejua nafasi yake katika mahusiano. Hii haina maana kuwaambia kuwa wanawake muwe wadhaifu ila inabidi mfahamu kuwa wanawake mnapaswa kuwaheshimu wanaume zenu niki...

Kuongeza nguvu za kiume bila kutumia dawa

Image
  Kuongeza nguvu za kiume bila kutumia dawa Makala hii ni maalumu kwa ajili ya wanandoa tu na si vinginevyo au kama elimu kwa wanandoa watarajiwa. Muogope Mungu uzinzi ni dhambi kubwa sana. Katika kilele cha juu kabisa cha furaha katika ndoa, kama inavyojulikana, ni sherehe inayopatikana katika tendo lenyewe la ndoa. Ingawa, ili furaha hiyo ipatikane ni lazima tendo hilo liwe limefanyika katika hali ya afya kwa wanandoa wote wawili. Nguvu za kiume ni neno linalotumika mara nyingi kumaanisha ‘Uwezo wa mwanaume kufanya tendo la ndoa’. Na inapokuwa tofauti na hivi, tunaita ni ‘kupungua au kukosa nguvu za kiume’. Kupungukiwa kwa nguvu za kiume hutofautiana toka mtu mmoja hadi mwingine. Inaweza kuwa ni hali ya kutokuwa na uwezo wa kusimamisha uume, au hali ya kutokuwa na uwezo wa kufika kileleni kwa muda mzuri wa kutosha. Pamoja na hayo yote, elimu mhimu ambayo mwanaume anatakiwa kuwa nayo, ni kuwa nguvu za kiume hazipatikani kwa kutumia madawa ya kemikali au mahala pengine; bali zinato...